Waebrania 1:8
Print
Lakini hivi ndivyo alivyosema kuhusu Mwana wake: “Mungu, ufalme wako utadumu milele na milele. Unatumia mamlaka yako kwa haki.
Lakini kuhusu Mwana, anasema: “Kiti chako cha enzi, Wewe Mungu, kitadumu milele na milele, na haki takuwa fimbo ya ufalme wako.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) Copyright © 2017 by Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica